iqna

IQNA

IQNA – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini nchini Syria imekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuwa Haram takatifu ya Bibi Zaynab (Salamullahi ‘alayha) mjini Damascus imefungwa.
Habari ID: 3480869    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29

Siku ya Ashura
TEHRAN (IQNA) – Nafasi ya wanawake katika mwamko wa Ashura yote imekuwa chanya. Sio tu kwamba kuna jukumu la wanawake wa kipekee kama Bibi Zaynab (SA) na Umm Salama, lakini pia hakuna ukandamizaji uliotekelezwa na na wanawake na kwani hata wake wa baadhi ya makamanda wa jeshi la Yazid bin Muawiya wamewakemea waume zao.
Habari ID: 3475602    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10